LOGO

LOGO

Wednesday, 3 February 2016

Ushawahi kuwaona Celebrities wetu wa dunia wakiwa hawajapaka Make up?

Kuna safari ndogo ndogo, au upo around home tu... haiwezekani ukaanza  kujipaka ma-make up tu rundo usoni. Inatokea hata kwa mastaa wetu, hebu tuwaone wakiwa hawajafanya mambo yao bado usoni.................

1.Kim Kardashian...
  
2.Fergie...

3.Pamela Anderson...

4.Jennifer Lopez....

 5.Kirsten Stewart.....

 6.Cameron Diaz.....

 7.Nicole Ritchie....
  
8.Kirsten Stewart.....

9.Khole Kardashian.....

 10.Jessica Biel......

 11.Annalynne McCord.......

 12.Nicole Scherzinger........
  
13.Jessica Simpson...........

14.Olivia Wilde.............
  
15.Kate Hudson.........

16.Katherine Heigl........

17.Adele.......................

 18.Alicia Silverstone.........

19.Jennifer Ganner........

20.Penelope Cruz.........
  
21.Lady Gaga.........

 22.Goldie Hawn........

23.Britney Spears........

 24.Madonna..........

 25.Kate Moss..........

26.Katty Perry...................

28.Tyra Banks..........

Aisee...Lets stick on what we love!!You will never know... huenda ndio good life yako.

Inashangaza!

Richard & Famous ni diary ya picha illiyosheheni picha mbalimbali za selfie zilizopigwa na mpiga picha mmoja kutoka Australia anayeitwa Richard Simpkin, akiwa na watu mbalimbali maarufu duniani, wanamichezo, wanasiasa ili mradi tu uwe maarufu duniani. Zoezi lililofanyika kwa miongo kadhaa, nikimaanisha miaka kumi kumi kwenye mafungu kadhaa..

Kinachofurahisha au kushangaza ni kwamba sio kwamba picha zilipangwa awali nikimaanisha appointment, bali ni kwa sababu Richard Simpkin alikuwa mahiri wa kujua pa kuwapata mastaa. Alianza kama utani akiwa na mdogo akitembelea vyumbani kwenye viwanja vya michezo na kukusanya picha zilizobandikwa ukutani za mastaa. Baadaye akaanza kuwafuata wanamichezo na kupiga nao picha badala ya kubandua picha zao ukutani.

Mpaka kufikia miaka ya 90's Richard Simpkin alikuwa na albamu kubwa iliyosheheni picha za mastaa na hapo ndipo alipofanya hobbie ya kupiga picha na mastaa kuwa serious na mwisho ni biashara!
Ukweli ni kwamba Richard&Famous Photo Diary, sio kwa ajili ya mpiga picha huyo kujionyesha na selfies zake kuwa aliwahi kupiga na watu maarufu, bali kwake yeye ni kwa ajili ya kukumbuka watu waliofanya mambo makubwa kwa ajili ya dunia. So Richard&Famous Diary, ni business plus remembering our big figures from our selfies, for what they did to us not just for showing off!!

Akiwa na Nelson Mandela enzi hizo yeye akiwa bado mdogo. Unaweza ukaona alinza shughuli akiwa mdogo kiasi gani.........

Akiwa na Michael Jackson......

Akiwa na Dalai Lama.......

Akiwa na Kanye West.......



Akiwa na David Beckham na Victoria Beckham.....

Akiwa na Tiger Woods.....

Akiwa na Joan Collins.....

Akiwa na Jack Nicholson......

Akiwa na Drew Barrymore....

Akiwa na Keanu Reeves.....

Akiwa na muigizaji wa James Bond....

Akiwa na Audrey Hepburn...

Akiwa na Lady Gaga....

Akiwa na Michael Hutchence....

Akiwa na Robin Williams..

Akiwa na Nicole kidman na Tom Cruise...

Akiwa na Heath Ledger....

Akiwa na Al Pacino....

Akiwa na Dwayne Johnson A.K.A The Rock...

Akiwa na Tylor swift....
Akiwa na Oprah Winfrey
Akiwa na Kim Kardashian.....

Akiwa na Prince William....

Akiwa na Katty Perry.............

Akiwa na Lana Del Ray.......

Akiwa na Tom Hanks......

Umri sawa, lakini muonekano mmmh!.... TOFAUTI......

Mara nyingi watu maarufu hawapendi kutaja umri wao, sijui kwa nini lakini anyway... labda ni lifestyle tu. Wengine hulazimika kufanya plastic surgery ili waonekane vijana ingawa kiukweli umri umekwenda. Unakuta mmoja ana sura ya kitoto, mwingine ya kiutu uzima lakini umri wako sawa. Nakuletea mastar ambao wana umri sawa, lakini kiukweli kimuonekano tu unaona hawafananii, sijui ndio operations au kutojitunza.........

1.Angelina Jolie & Tara Reid


 2.Jennifer Aniston & Cate Blanchett

 3.Margot Robbie & Sarrah Hyland


4.Serena Gomez & Kate upton


 5.Jennifer Lopez & Ellen Pompeo

Kardashian akifanya yake kwenye red carpets!


Celebrities huwezi kuwaambia kitu kwenye issue inayoitwa red carpet. Ni sehemu inayokaa pia kibiashara kwani anayekuvalisha lazima ajulikane so ni sehemu ya kibiashara pia coz anayevaa gauni au whatever anakutangaza so kutumia mastaa ni platform kubwa sana kwa designers! Tumuone Kim Kardashian akifanya yake  kwenye red carpets tofauti tofauti........