LOGO

LOGO

Wednesday 11 November 2015

Hotel ya Kuenjoy!!

Kuenjoy katika hoteli zilizopo visiwani sio tena ufahari ambao matajiri peke yao wanaweza kufaidi, hata watu wa kawaida nao wanaweza cha msingi ni kujipanga tu. Mfano ni hii hoteli ya The Song Saa Private Island Hotel!

Ni kama kitu cha kutengeneza kwenye movie, hoteli hii ya aina yake ipo katikati ya mlima na bahari kwenye ghuba ya Thailand.



The Song Saa Private Island ni moja kati ya visiwa vya Koh Rons, pembeni pembeni ya pwani ya Cambodia na ina View yake itakayokufanya usisimke na mtu yoyote mwenye pesa ya kutumia ni ruksa kwenda.
 


Kila kitu kuhusu eneo hili ni superbly, kuanzia fukwe zake nzuri mpaka maji yake ya bahari yaliyo safi(Blue water), na pia uzuri na usasa wa hoteli yenyewe.


 
Ikiwa na villas 26 zenye muonekano ambao hauwezi kukosa utakapozungumzia muonekano wa kisasa kabisa kwenye magazeti, kila chumba kina pool lake binafsi pamoja na bafu la nje.


 
Michezo ya nje pia ipo, beach ndio usiseme.Kama diving, snorkeling na mingineyo. The Song Saa Private Island Eco Hotel, si mchezo!!!

No comments:

Post a Comment