LOGO

LOGO

Friday 15 August 2014

Footballers wakishow love na ndinga zao!

Wacheza mpira wa miguu ni kati ya wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani. Na pia kama si wote basi asilimia kubwa ni machizi magari Tuone baadhi yao na ndinga zao.......
1.CRISTIANO RONALDO

 Christiano Ronaldo akivinjari mitaani na ndinga yake.

2.LEONEL MESSI

 Leonel Messi akiwa amepaki mkoko wake.

3.WAYNE ROONEY

Wayne Rooney kitaani na mkoko wake.

4.SAMUEL ETOO

 Samuel Etoo akiwa amepozi juu ya magari yake.

5.MARIO BALLOTELI


 Mario Balloteli akiosha Ferrari yake.


6.FRANK RIBERRY
 Frank riberry akikatiza kitaani.







No comments:

Post a Comment