LOGO

LOGO

Wednesday 7 May 2014

Lets go smart Gentlemens!!!!

Vidume sio kila siku Tshirt na Jeans tu. Zamani Suit ndio ilikuwa kwa watu wa ofisini tu labda na maharusini na vitu kama hivyo. But now days.... hujamuona Jay Z akiparfom na suit? Lets go smart guys, everywhere, any where...................

 Kwa Redcarpet imo...........................


Kishua shua, kiofisi imo..............................

 Ukichnganyia sasa ndio inakuwa ya kisasa pia. Koti rangi nyingine, suruali rangi nyingine..............
Ila kuwa makini, maana mchanganyiko mwingine, unaweza ukaonekana kama n'gombe wa maziwa


Kidingi dingi sasa......................

 Safi sana, very smart.....
 Iko simple lakini imetulia...................
Inatoshaaaaaa.......................

No comments:

Post a Comment